NDIMI ZA MOTO Matendo 2:3

NDIMI ZA MOTO  Matendo 2:3 Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from NDIMI ZA MOTO Matendo 2:3, Grocers, Dar es salaam, Dar es Salaam.

UTUNGU UMJIAVYO MWENYE MIMBA 1 WATHESALONIKE 5:3[3]Wakati wasemapo, Kuna amani na salama, ndipo uharibifu uwajiapo kwa g...
06/11/2024

UTUNGU UMJIAVYO MWENYE MIMBA

1 WATHESALONIKE 5:3
[3]Wakati wasemapo, Kuna amani na salama, ndipo uharibifu uwajiapo kwa ghafula, k**a vile UTUNGU umjiavyo MWENYE MIMBA, wala hakika hawataokolewa.

For when they shall say, Peace and safety; then sudden destruction cometh upon them, as TRAVAIL upon a WOMAN WITH CHILD; and they shall not escape.

Bwana YESU ASIFIWE SANA !!!!
MWANAKONDOO AMESHINDA 💪🏾

Amani Ni kipindi chenye utulivu wa Kifamilia,Kisiasa N.K

UTUNGU ni hali anayopitia mwanamke wakati wa Kujifungua Mtoto/Watoto.
~KIPINDI cha UTUNGU ni ngumu sana kujua MUDA kamili ,,,

~ Huwa Kinatokea GHAFLA tu bila kujipanga .UTAKUTA muda wanacheka Hali ikabadilika GHAFLA... kwenye UTUNGU kuna maumivu makali sana wanayoyapitia tena bila kutarajia ( KUJIPANGA)

•NDIVYO ILIVYO
Pale unapodhani una Amani,una mali,Majumba ya kifahari tena na magari makali Ndani yake.......
~ SASA KWENYE KIPINDI HIKI WENGI WAMEJIKUTA KUINGIA KWENYE DIMBWI LA KILIO NA KUSAGA MENO ,,ni Kipindi ambacho wengi wamemwacha MUNGU baada ya kuona MAMBO yanawaendea shwari....

Sasa ile Shwari ikimkosa MLINZI ambaye Ni YESU,itakuwa ni hasara kubwa kwake yeye azaniye kuna Amani kumbe anaingia upotevuni.

UJUMBE
📌" HAKUNA MUDA AMBAO HAUMWITAJI YESU"

SAFARI YAKO IONGOZWE NAYE UKIWA CHINI HATA UKIFANIKIWA.

Bro Daniel Bugali
0615621200

06/11/2024
05/11/2024

📌NAFSI HAIWEZI KUNUNULIWA KWA FEDHA.
DAMU YA YESU INALETA UKOMBOZI

05/11/2024

TUNZA NAFSI YAKO:HUKUMU INATOLEWA KWA MTU MMOJA MMOJA NA SIO KUNDI.
USIFANYE DHAMBI KWAAJILI YA KUONEKANA MWEMA KWAO.
UFUNUO 22:12

  HII INAKUHUSU WEWE. EZRA 10:4[ 4]INUKA; maana shughuli hii YAKUHUSU WEWE; na sisi tu pamoja nawe; uwe na moyo mkuu, uk...
02/11/2024

HII INAKUHUSU WEWE.

EZRA 10:4
[ 4]INUKA; maana shughuli hii YAKUHUSU WEWE; na sisi tu pamoja nawe; uwe na moyo mkuu, ukaitende.

📌 Hakuna ambaye amepewa NEEMA ya kukamilisha shughuli (kazi) uliyopewa.Inuka inakuhusu wewe Wengine hawataweza kufika ulipotakiwa wewe kufika.

📌 Mungu ATAKULETEA WATU kwaajili ya kulikamilisha kusudi alilokuitia
Isaya 43:4

📌 Mungu atakuwa pamoja nawe kila Hatua.Kuwa na Moyo Mkuu (Ujasiri) Maana Mungu akutupa roho ya woga bali roho ya Nguvu.
Yoshua 1:9
[9]Je! Si mimi niliyekuamuru? Uwe hodari na moyo wa ushujaa; usiogope wala usifadhaike; kwa kuwa BWANA, Mungu wako, yu pamoja nawe kila uendako.

📌 Anza ukiamini unaweza. kwa Sababu nayaweza Mambo yote katika yeye anitiaye nguvu.
Wafilipi 4:13
[13]NAYAWEZA mambo YOTE katika yeye ANITIAYE NGUVU.

✍🏾Nakutia Moyo wewe uliyerudi na kukata tamaa nyuma ukiamini hautaweza kuendelea kwa sababu ya vikwazo ulivyokutana navyo.

Mungu amekuamini kukupa iyo Nafasi na anamatarajio Makubwa ya Matunda anayotaka kuyapata kutoka kwako.

Ishi maisha ukijua kuwa upo kazini.

Unapoamua kufanya kazi ya Mungu... Inayoongozwa na Mfumo wa Mungu hatakuacha uishi kawaida.....

Ninachokijua ni kwamba anayemtumikia Mungu kwelikweli hawezi akawa wa KAWAIDA.

"Nilichoandikiwa kukifanya mimi hakuna mwingine yeyote aliyewahi kuwepo aliyepo na watakaokuja ambao wataweza kukamilisha bali ni Mimi"

UMEBARIKIWA
Mwl
D.bugali
0615621200

🚨MAMBO YA KUFAHAMU KUHUSU NEEMA.~NEEMA Sio Mbadala wa Maombi.~Kuwa na NEEMA sio tiketi ya kuacha kusoma Neno la Mungu.~N...
01/08/2024

🚨MAMBO YA KUFAHAMU KUHUSU NEEMA.

~NEEMA Sio Mbadala wa Maombi.

~Kuwa na NEEMA sio tiketi ya kuacha kusoma Neno la Mungu.

~NEEMA Haikufanyi ukwepe kulipa gharama.Ila Inakusaidia uweze kulipa gharama...K**a Kuomba ,kufunga ,kukaa mbali na dhambi N.K

~NEEMA ikikosa kazi uwa inahama,,Usijaribu kuchezea neema.

~NEEMA sio Mbadala wa Maisha Matakatifu.

~NEEMA Inatunzwa na UTAKATIFU.

WARUMI 6:1
"Tuseme nini basi? Tudumu katika dhambi ili neema izidi kuwa nyingi?

~Usiitumie NEEMA kuwa kiboko kwa wasio na NEEMA.

~NEEMA ni Mtaji.....
Ukipoteza NEEMA umepoteza Kibali

Mwl D.bugali
0615621200

Unaweza ukawa unasema umeokoka lakini bado unazidi kuchezewa na wachawi....Hipo Hivi unapookoka moja kwa moja unaingia k...
23/01/2024

Unaweza ukawa unasema umeokoka lakini bado unazidi kuchezewa na wachawi....
Hipo Hivi unapookoka moja kwa moja unaingia katika vita ,lakini watu wengi wanadhani kwamba Wakiokoka ni kukaa tu HAPANA....**

Kitendo tu cha kukiri kwamba umeokoka shetani anatuma ma agent wake ..K**a hauamini mtu kabla hajaokoka alikuwa sio mwasherati na watu walikuwa hawajishobokeshi kwake lakini soon baada ya kuokoka watu wanaanza kumtaka kimapenzii!!!
Nadhni unadaka concept mahali hapa..
1Timotheo 6:12"piga vita vizuri vya Imani,shika uzima ule wa milele ulioitiwa ukaungama maungamo mazuri mbele ya mashaidi wengi.

Ufalme wa Mungu upo vitani ALWAYS (Revelation 12:7)
Ufunuo 12:7 "kulikuwa na vita mbinguni,Mikaeli na malaika zake wakapigana na yule joka naye akapigina nao pamoja na malaika zake"

Inamaana shetani naye ana malaika zake."Naye akapigana nao pamoja na malaika zake"

Kwahiyo Wewe mkristo upo vitani mda wote ..Katika roho..Maana vita si vya damu na nyama.

Address

Dar Es Salaam
Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when NDIMI ZA MOTO Matendo 2:3 posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Category