Kilimo chenye TIJA

Kilimo chenye TIJA Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Kilimo chenye TIJA, Grocers, Dodoma, Dar es Salaam.

SUPER GRO ni kirutubisho cha mimea aina zote km mazao ya chakula, mboga,  matunda, MITI, maua, nyasi hustawi mara 3 ya k...
12/11/2023

SUPER GRO ni kirutubisho cha mimea aina zote km mazao ya chakula, mboga, matunda, MITI, maua, nyasi hustawi mara 3 ya kawaida na kuongeza uzalishaji.

Ni mkombozi WA mkulima maana hakuna hasara ya pembejeo ,mkulima usubiri kupata mazao machache

Faida za super gro:

*Hutunza unyevu kwenye udongo na kwenye Jani hasa KIPINDI CHA jua

*Huongeza UZALISHAJI WA Mazao mara 3 ya kawaida

*UJAZO mzuri WA Mazao na UJAZO mkubwa

*Mazao kulingana

*Husaidia viuatilifu au dawa kubaki kwenye mmea hasa kipindi cha mvua maana Ina k**a stika ya kunasa

Bei ni robo Lita sh 40,000/ Lita moja sh 65,000/ na Lita Tano sh 1870,000/

Tuma order yako Leo na tunadeliver popote hata nje ya nchi piga/sms/Whatsapp namba 0622076973

08/11/2023

SUPER GRO

KWA AJILI YA KUPIGA VITA UMASIKINI NA NJAA

SUPER GRO
Ni kirutubisho cha mimea ya aina yote. Bidhaa hii sasa ni maarufu duniani na huku Africa Mashariki kwani imeweza kuwasaidia wakulima kuongeza mazao na kupunguza gharama za kilimo hasa madawa na mbolea.

Bidhaa hi inatoka kampuni ya kimarekani inayoitwa Golden Neo Diametre International L.td (GNLD/NEO LIFE)
Kampuni imesajiliwa kufanya biashara Marekana 1958 na Tanzania tangu mwaka Aprili 1999.

📶SUPER GRO IMEWEZA KUJIBU CHANGAMOTO ZA WAKULIMA MFANO
1⃣Mvua haba
2⃣Mazao hafifu
3⃣Udongo uloishiwa rutuba
4⃣Wadudu na Magonjwa
5⃣Gharama kubwa za pembejeo
6⃣Masoko ya mazao yao
👆Changamoto hizo za wa kulima zinajibiwa na 👉Super Gro tu.

JINSI YA KUTUMIA SUPER GRO

Taarifa ifuatayo imetolewa k**a mwongozo kurahisisha wakulima kuitumia bidhaa hii mashambani izingatiwe kuwa Super Gro imesajiliwa na mkemia mkuu wa serikali Tanzania.
Pia katka taarifa hii imeandaliwa kutokana na uzoefu ulopatikana kwa wakulima wenyewe baada ya matumizi ya muda mrefu kutoka sehemu mbalimbali k**a
mbeya,iringa, Kilimanjaro, Dodoma, Morogoro,Mtwara na Kagera.
Taarifa za nyongeza pia zinatoka sehemu kadhaa za nchi jirani Kenya na Uganda.
Hata hivyo matokeo ya super gro yametofautiana sehemu moja hadi nyingine kutokana na hali ya hewa na mazingira ya eneo.
Super gro ipo katka ujazo wa mils au cc 250mls yaani robo lita zinazoweza kutumika katka eneo la karbu ekari mbili na ujazo wa lita 5 ambazo zinaweza kutumika kwenye eneo la ekari 10 hadi 15 kutegemeana na aina ya zao linalohudumiwa.

↘Kawaida maji mengi hutiririka juu ya udongo na majani ya mimea bila kupenya ardhini na kiasi kidogo tu hupenya na kuishia tabaka la juu la udongo, Jua likiwaka maji hayo hupotea k**a mvuke hewana.

SUPER GRO NI NINI?
Ni kirutubisho cha mmea na ardhi.
✅Hulainisha maji na kuondoa mzio wa maji. Kwani huwezesha maji kupenya hadi tabaka la tatu la udongo ambalo huwa na madini na virutubosho vingi.
✅Huongeza rutuba katika udongo

Address

Dodoma
Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Kilimo chenye TIJA posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Category