25/03/2026
Hii ina sababu nyingi, ikiwepo kupata pesa kwa watu kusajili CCTV, they are broke now, hamna hela ila sababu kuu ya hili ni ili wajue maeneo yenye CCTV ili wakifanya matukio yao ya kishetani waziwahi camera au wazi avoid.
Issue ya Banjoo ilipotokea the next day familia ilimfata Mahita na kumwambia pale kuna cameras nyinyi, awape footage, Mahita akawaambia nashughulikia hilo nitazipata. 2 days later wakarudi tena kwa Mahita, Mahita akawajibu kwa hasira msinifundishe kazi na pia msitangaze kapotea mimi nafanyia kazi. K**a mnakumbuka it took a while ile familia kutangaza ndugu yao katekwa ni sababu Mahita aliwakataza kutangaza eti italeta taharuki. Ile kutangaza yenyewe ni walifosi ila Mahita aliwakataza.
After about a week, familia ya marehemu ilianza kupita yale maeneo kuomba footage za CCTv wakawa wanaambiwa CCTV zimechukuliwa na polisi na copy zote wamechukua na wakaamiriwa kufuta any other copy.
This is why wanataka kila mwenye CCTV camera nchini wamjue, ukiacha issue ya kupata kipato kupitia hizo camera.
Mange kimambi kupitia mtandao wa X (Twitter)