24/10/2024
HIVI NDIVYO WAISLAM WANAVYOITWA KWENDA KUSWALI.
1 Allahu Akbar, Allahu Akbar, Allahu Akbar, Allahu Akbar.
(Allah ni mkubwa sana, Allah ni mkubwa sana, Allah ni mkubwa sana, Allah ni mkubwa sana).
2 Ash-Hadu Al-Laa-Ilaaha Illallah, Ash-Hadu An-Laa-Ilaaha Illallah.
(Ninakiri kuwa hapana Mola apasaye kuabudiwa kwa haki isipokuwa Allah tu, Ninakiri kuwa hapana Mola apasaye kuabudiwa kwa haki isipokuwa Allah tu).
3 Ash-Hadu Anna Muhammadan Rasuulullah, Ash-Hadu Anna Muhammadan Rasuulullah,
(Ninakiri kuwa Muhammad ni Mtume wa Allah, Ninakiri kuwa Muhammad ni Mtume wa Allah).
4 Haiyya Ala-Sswalaa, Haiyya Alaa-Sswalaa .
(Njooni kuswali, njooni kuswali).
5 Haiyya 'Alal-Falaah, Haiyya 'AlalFalaah.
(Njooni kwenye mafanikio, njooni kwenye mafanikio).
6 Allahu Akbar, Allahu Akbar.
(Allah ni mkubwa sana, Allah ni mkubwa sana).
7 Laa-Ilaaha Illallah.
(Hapana Mola apasaye kuabudiwa kwa haki isipokuwa Allah tu).
⚠ Katika Adhana ya Alfajiri ataongeza: “Asswalaatu Khairun Minan-naum, Asswalaatu Khairun Minan-naum” (swala ni bora kuliko usingizi) baada ya “Hayya 'Alalfalaah”.
Nimeinukuu post hi kutoka kwa page ya Uzuri Wa Uislam
karibu ujumuike nasi katika page yetu
Quran Muongozo Wangu