17/12/2022
Msanii kutokea Nigeria 🇳🇬 atatumbuiza kesho dimbani kabla ya fainali Ikumbukwe pia amehusika kwenye Soundtrack rasmi ya FIFA .
Wasanii wetu wanakwama wapi hatua kubwa k**a hizi ni pesa nyingi mnoo imekuwa ngumu kwetu kupenya maenoeo makubwa k**a hayo——— Kwa habari nyingi zaidi jiunge Kwenye group letu la telegram hapa 👉🏼 https://t.me/Smartcalii