10/12/2021
Elimu ya Ufugaji wa kuku wa chotara na kienyeji
S**i 1
Kuku wapewe majani ya
a)mlonge najani ya
b)mpapai
C)Mkaa na
d)Aloe_vera.
Mitishamba hii hukinga
1)Ndui
2)Kuhara_damu
3)Kuhara_choo_cheupe na 4)Kipindupindu_cha_kuku
*.Saga mkaa weka kwenye vijiko 10 kwa maji ya lita moja na nusu majani ya papai aloe vera mlonge twanga twanga kisha wape ila usichanganye dawa hizi kila daw na wakat wake
Siku 7
Kuku wapewe
1)Ndulele ni kinga ya *Ini*
Typhoid
twanga majani viganja 5 kwa lita moja na nusu
Siku 14
Kuku wapewe majani ya
*Mpapai
hutibu na kukinga *Minyoo
Mara hii chemsha majani kisha wape
Siku 21
Kuku wapewe
1)Mwarobaini
hukinga na kutibu *Vidonda *Kuhara na *Mafua_ya_kawida
Twanga majani viganja 4 kwa lita moja ya maji loeka kisha wape
Siku 28
Kuku wapewe
*Pilipili_kichaa
*Kutunguu_saumu
*Majivu na
*Katani
Hukinga na kutibu
*Mafua_Makali
Twanga pilipili kichaa 5 changanya na maji yenye majivu vijiko 3 maji nusu lita kisha wape ila kitunguu saumu na katani usichanganye
Siku 35
Kuku wapewe
*Aloe_vera
*Ndulele na
*Katani
Kinga ya
*Newcastle
Twaga majani ya ndulele Aloe vera na katani ila usichanganye katani matawi 2 kwa lita 1 ya maji ndulele viganja 5 kwa lita moja na nusu
Siku 42
Kuku wape majani ya
*Muembe
*Mkaa
*Mtalangonyo hukinga Gumboro Kideri
Mkaa usage kisha weka vijiko 10 kwa lita moja majani ya muembe viganja 3 kwa lita moja na nusu
Siku 49
Anza kuludia chanjo hizi pia zingatia usafi na chakula bora kwa kuku wako hutopata kuku anaeumwa hata mmoja