30/05/2026
Kuoa part 1 π°π€΅πππβπ₯΄
Nakumbuka 2020 nlikua nmefika 22yrs old,,nakula kwa mumπlike nlikua napenda sana food ya mumπ§sa ilifika time mum akawa ananiwekea kidogo joh,,πππmi nikamface tu na nikamshow,,"kwani mum hii food hata ukipea paka haitashiba na hata hii food yenyewe imelalaπ₯΅π€¨,,joh nlishtukia kitu ikiland kwa kichwa yangu puu!!ππ ,,,Na akasema tafuta bibi yako akupikie chakula zenye zimeamka,,ππ π‘Mimi usinisumbue,,,oa upike chakula yako mingi k**a za sherehe sitakuuliza,, mtcheew!π₯΄utajua lini bei ya diaper πΌπkazi ni kukula tu na kudate tumalayaππmanze nlikosa cha kujibu mokoro,,,,,nikajitoa hapo nkaamua kucall cuzo yangu mwenye ako Kanairo anisakie wera,,πMimi huyooππnikajipata Kanairo,, nikfika country bus saa kumi usiku ju nlitravel mausiku,,πdere akasema k**a umefika na unajua penye unaenda aunaeza Toka ,,nakam we ni wa kukujiwa naomba ubaki kwa gari Hadi saa mbiliππ€¨Mimi ju sikua najua penye cuzo yangu anaishi nkaamua kutulia kwa gari,,,kufika 6am ikawa gari ni k**a inataka kutoka ,,Sasa wenye tulikua tebaki ka gari tushuke tukae kwa hizo viti za stage π,, kidogo kidogo jamaa akakuja ndo huyu mwenye ameniibia bagπ§³π yangu,,,kuzubaa zubaa,,nkachapwa Kofi paaa,,,, π΅π hapo nkaona nitauwawa,,,,nikatimua mbioπββοΈπββοΈπββοΈπββοΈπ¨,,,,,,
Ngoja kwanza nipumue nakuja na part 2 ππππππ€¦πΏββοΈπ€«π₯΄π€£
Follow me π