03/04/2026
Heka SABA za shamba zinauzwa Dodoma (Chidaya), Ntuka Dampo mwisho. Kila heka moja ni 4M. Shamba lipo katika mteremko wa mlima, kwenye bonde. Kunarutuba nzuri sana na shamba ni zuri sana karibuni sana.
0796417661