TANZA FARM

TANZA FARM Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from TANZA FARM, Grocers, DAR ES SALAAM, Dar es Salaam.

KABLA  HUJAANZA UFUGAJI WA  NGURUWE, FAHAMU UKWELI HUU. Watu wengi huingia kwenye ufugaji wa nguruwe wakidhani ni biasha...
26/11/2025

KABLA HUJAANZA UFUGAJI WA NGURUWE, FAHAMU UKWELI HUU.

Watu wengi huingia kwenye ufugaji wa nguruwe wakidhani ni biashara rahisi na ya kupata pesa haraka. Wengine hata hukopa ili waanze. Baada ya miezi miwili, malalamiko yanaanza.
Ukweli ni kwamba ufugaji wa nguruwe ni mzuri — lakini tu k**a unaujua vizuri. Hebu nikuambie k**a mtu ambaye amepitia huko.

1. Chakula ndicho changamoto yako kubwa.

Usidanganywe. Gharama ya chakula ndiyo itakula fedha zako nyingi. Bila mpango mzuri, unaweza kuingia kwenye madeni. Nguruwe wanaweza kukuingiza hasara haraka k**a huna nidhamu ya kulisha.

2. Huwezi kuwa msafiri wa mara kwa mara.

Nguruwe hula kila siku bila kukosa. Ukiacha kulisha siku moja tu, utaona madhara. K**a unafikiri unaweza kuwaacha bila uangalizi, utashangaa.

3. Joto linaweza kuharibu kila kitu.

Wakati wa joto kali, nguruwe hupunguza ulaji wa chakula na wengine hufariki kimya kimya. Jenga banda lenye hewa safi na uwape maji ya baridi na safi muda wote. Joto huua zaidi kuliko magonjwa.

4. Harufu si rafiki.

Ukishindwa kusimamia uchafu na maji taka, utachukia shamba lako na majirani watakuchukia zaidi. Fanya mipango ya mifereji na mfumo wa usafi kabla hujaweka nguruwe.

5. Magonjwa hayatoi taarifa.

Nguruwe wakipata ugonjwa, huenea kwa kasi. Safisha banda mara kwa mara na usiruhusu watu kuingia ovyo. Nunua nguruwe wenye afya — si wale wa bei ya kutisha ambao huleta matatizo.

6. Nguruwe hawakui kwa kasi sawa.

Hata ukiwalisha chakula kilekile, utakuta baadhi wanakua haraka na wengine polepole. Usipanic — fuatilia afya zao, deworm, na hakikisha wote wanapata chakula cha kutosha.

7. Bei ya soko hubadilika bila kutarajia.

Unaweza kuwalea kwa miezi, halafu unauza kwa hasara. Huu ni ukweli ambao wengi hawasemi. Unaweza tu kujiandaa na kuwa na mpango B.

8. Usiwaamini wafanyakazi kupita kiasi.

Wengine hupoteza chakula, kuuza nguruwe kwa siri, au kuficha taarifa muhimu. Hakikisha unafanya ukaguzi binafsi mara kwa mara. Macho yako ndiyo mfanyakazi wako bora zaidi.

22/11/2025
22/11/2025

*PROGRAM YA KUWAKUZA WAFUGAJI NA WAKULIMA WALIOPO KWENYE MAGROUP YA TANZA FARM LTD*

Tutakusaidia kwenye masoko baada ya kununua bidhaa kwetu, au unaponunua vitabu hata online.

1. KUPATA BLUE TIK KWENYE INSTAGRAM , FACEBOOK, TIKTOK
2. KUBUST/ KUONGEZA FOLLOWERS KWENYE INST, FACEBOOK, TIKTOK
3. KUONGEZA WATCH HOURS NA SUBSCRIBE KWENYE YOUTUBE
4. KUSPONSA MATANGAZO KWENYE MITANDAO YOTE

PIA TUTAKUSAIDIA MASUALA YA
1. DESIGNING NA PRINTING

HII NI KWA WALE TU WANAONUNUA CHOCHOTE TANZA GROUP LTD

*MAWASILIANO*
0785 670 227
0650 930 227
0777 270227
0762 212 623

♥️
𝐊𝐀𝐑𝐈𝐁𝐔 𝐔𝐏𝐀𝐓𝐄 𝐇𝐔𝐃𝐔𝐌𝐀 𝐁𝐎𝐑𝐀 𝐊𝐖𝐀 𝐔𝐒𝐀𝐋𝐀𝐌𝐀 𝐖𝐀 𝐀𝐊𝐀𝐔𝐍𝐓𝐈 𝐘AKO
_________________________
🪩Instagram Followers Kuanzia 1k | 5k | 10k | more

•Instagram Followers 1k = Tsh 20,000

•Instagram Followers 3k = Tsh 30,000

•Instagram Followers 5k = Tsh 50,000

•Instagram Followers 10k = Tsh 85,000
___________________________
🪩Tunaongeza YouTube Viewers 1k | 5k | 10k | more

•YouTube Viewers 1k = Tsh 20,000

•Youtube Viewers 3k = Tsh 30,000

•YouTube Viewers 5k = Tsh 50,000

•YouTube Viewers 10k= Tsh 80,000
___________________________
🪩Youtube Subscribers
•YouTube Subscribers 200 = Tsh 10,000
Youtube Subscribers 300 = Tsh 20,000

•YouTube Subscribers 500 = Tsh 30,000

•YouTube Subscribers 1k = Tsh 50,000
___________________________
🪩Tunaongeza Masaa (Watching Time) Kwenye YouTube Channel

•Watching Time 500Hrs = Tsh 45,000

•Watching Time 1000Hrs = Tsh 70,000

•Watching Time 2000Hrs = Tsh 140,000

•Watching Time 4000Hrs = Tsh 250,000
_____________________________________
🪩 *Facebook*, *TikTok*
•Facebook Likes 1k = Tsh 10,000

•Facebook Followers 1k = Tsh 20,000

•Facebook Views 1k = Tsh 10,000

🪩*TikTok*
•TikTok Followers 1k = Tsh 20,000

•Tiktok Likes 1k = Tsh 10,000

•Tiktok Views 1k = Tsh 10,000
__________________________

𝐊𝐀𝐑𝐈𝐁𝐔 𝐔𝐏𝐀𝐓𝐄 𝐇𝐔𝐃𝐔𝐌𝐀 𝐁𝐎𝐑𝐀 𝐊𝐖𝐀 𝐔𝐒𝐀𝐋𝐀𝐌𝐀 𝐖𝐀 𝐀𝐊𝐀𝐔𝐍𝐓𝐈 𝐘𝐀𝐊𝐎🤝
Mawasiliano
0785 670 227

PIA TUNATENGE

19/11/2025

TUNAUZA INCUBATOR ZA SOLAR ZA MAYAI 30

OFA 150,000/=TSH

■Toleo jipya

SIFA ZA INCUBATOR ZETU

■Zinatumia solar,umeme na betri.
■Zinageuza mayai yenyewe.
■zinamfumo wa kupima yai lenye mbegu.
■Zinakuja na warranty ya mwaka mmoja.
■zinacontrol joto na unyevu nyevu yenyewe.
■Zinageuza kwa 98%
■Zinatotoa mayai aina zote [kuku,kanga,bata & kware]

NJOO UJICHUKULIE BEI.

*UKINUNUA MACHINE TUNAKUPA OFA YA VITABU VYA UFUGAJI BURE*

*MAWASILIANO*
0785 670 227
0777 270227
0650 930227
0762 212 623

19/11/2025

TUNAUZA INCUBATOR ZA SOLAR ZA MAYAI 30

OFA 150,000/=TSH

■Toleo jipya

SIFA ZA INCUBATOR ZETU

■Zinatumia solar,umeme na betri.
■Zinageuza mayai yenyewe.
■zinamfumo wa kupima yai lenye mbegu.
■Zinakuja na warranty ya mwaka mmoja.
■zinacontrol joto na unyevu nyevu yenyewe.
■Zinageuza kwa 98%
■Zinatotoa mayai aina zote [kuku,kanga,bata & kware]

NJOO UJICHUKULIE BEI.

TANZA FARM LTDHUDUMA ZETU1. TUNAUZA VIFAA VYOTE VYA KILIMO NA UFUGAJI2. TUNATOA ELIMU KUHUSU KILIMO NA UFUGAJI3. TUNAUZA...
17/11/2025

TANZA FARM LTD

HUDUMA ZETU
1. TUNAUZA VIFAA VYOTE VYA KILIMO NA UFUGAJI
2. TUNATOA ELIMU KUHUSU KILIMO NA UFUGAJI
3. TUNAUZA VYAKULA VYA MIFUGO, KINGA, DAWA NA VIRUTUBISHO
4. TUNAJENGA MABANDA YA KISASA YA UFUGAJI
5. TUNAKODISHA VIFAA VYA KILIMO NA UFUGAJI
6. TUNAUZA VITABU VYA KILIMO NA UFUGAJI

MAWASILIANO
0785 670227
0777 270227
0762 212 623
0650 930227

UNAWEZA KUTUFUATILIA KUPITIA MITANDAO YA KIJAMII

TANZA FARM

*KITABU CHA KUPUNGUZA GHARAMA ZA UFUGAJI KIPO TAYARI,**SOFT COPY NI TSH 2000.**HARD COPY 20000.* *KITABU KIPO MAKTABA YA...
16/11/2025

*KITABU CHA KUPUNGUZA GHARAMA ZA UFUGAJI KIPO TAYARI,*
*SOFT COPY NI TSH 2000.*
*HARD COPY 20000.*
*KITABU KIPO MAKTABA YA TAIFA KWA UWEZO WA ALLAH.*
*NJOO INBOX K**A UNAHITAJI.*
*SURA YA KWANZA*
VYAKULA MBADALA NA UCHANGANYAJI WA CHAKULA
1. HYDROPONIC FODDER
2. AZOLA
3. MINYOO
4. BIO EARN
5. INZI CHUMA
6. MOLASES
7. UCHANGANYAJI WA CHAKULA CHA KUKU
*SURA YA PILI*
1. CHANJO NA DAWA ZA ASILI
*SURA YA TATU*
MATUMIZI YA VIFAA VYA UFUGAJI
1. KIATAMISHI
2. TOCHI ZA KUPIMIA YAI
3. TAA ZA KULELEA VIFARANGA
4. VYUNGU JOTO
5. NI***ES DRINKERS
6. VIZIMBA ( CAGES )
7. ANDALIO LA MRADI WA UFUGAJI WA KUKU WA NYAMA
8. ANDALIO LA MRADI WA UFUGAJI KUKU WA MAYAI NA KIENYEJI
*KITABU KIMEANDIKWA NA*
*Comrade Ally Maftah*
*Mkufunzi wa Ujasiliamali*

*Pamoja na kitabu hiki kwa gharama hiyo hiyo nitakupa bonus ya vitabu vingine 10, vya waandishi mbalimbali*

*HARD COPY NI TSH 35,000/= KWA SET YA VITABU 3*

VIFAA VYOTE VYA UFUGAJI VINAPATIKANA

*MAWASILIANO*
0777 270227
0762 212 623
0785 670227 ( CALL & WATSUP)

https://chat.whatsapp.com/KLGmMpVH3CzCdcnov2QO84?mode=hqrt3

*MALIPO KWA AJILI YA SOFT COPY YA VITABU VYA UFUGAJI*

TIGO/ YAS - *0777 270227* (Ally Maftah)
VODACOM - *0796454292* (Ally Maftah)
AIRTEL MONEY - *0785 670227*

*UKITUMA NITUMIE MUAMALA WAKO NIONE NDIPO NITAKUTUMIA SOFT COPY*

https://www.instagram.com/p/DRHcPf3CCf9/?igsh=MWZianI2c2NpdnFzNA==

*KITABU CHA KUPUNGUZA GHARAMA ZA UFUGAJI KIPO TAYARI,**SOFT COPY NI TSH 2000.**HARD COPY 20000.* *KITABU KIPO MAKTABA YA...
16/11/2025

*KITABU CHA KUPUNGUZA GHARAMA ZA UFUGAJI KIPO TAYARI,*
*SOFT COPY NI TSH 2000.*
*HARD COPY 20000.*
*KITABU KIPO MAKTABA YA TAIFA KWA UWEZO WA ALLAH.*
*NJOO INBOX K**A UNAHITAJI.*
*SURA YA KWANZA*
VYAKULA MBADALA NA UCHANGANYAJI WA CHAKULA
1. HYDROPONIC FODDER
2. AZOLA
3. MINYOO
4. BIO EARN
5. INZI CHUMA
6. MOLASES
7. UCHANGANYAJI WA CHAKULA CHA KUKU
*SURA YA PILI*
1. CHANJO NA DAWA ZA ASILI
*SURA YA TATU*
MATUMIZI YA VIFAA VYA UFUGAJI
1. KIATAMISHI
2. TOCHI ZA KUPIMIA YAI
3. TAA ZA KULELEA VIFARANGA
4. VYUNGU JOTO
5. NI***ES DRINKERS
6. VIZIMBA ( CAGES )
7. ANDALIO LA MRADI WA UFUGAJI WA KUKU WA NYAMA
8. ANDALIO LA MRADI WA UFUGAJI KUKU WA MAYAI NA KIENYEJI
*KITABU KIMEANDIKWA NA*
*Comrade Ally Maftah*
*Mkufunzi wa Ujasiliamali*

*Pamoja na kitabu hiki kwa gharama hiyo hiyo nitakupa bonus ya vitabu vingine 10, vya waandishi mbalimbali*

*HARD COPY NI TSH 35,000/= KWA SET YA VITABU 3*

VIFAA VYOTE VYA UFUGAJI VINAPATIKANA

*MAWASILIANO*
0777 270227
0762 212 623
0785 670227 ( CALL & WATSUP)

*Je Nguruwe wako wamedumaa?wamekonda?wamedhohofika?,vifo vya mara kwa mara?*wanashambuliwa na magonjwa  mara kwa mara?um...
16/11/2025

*Je Nguruwe wako wamedumaa?
wamekonda?
wamedhohofika?,
vifo vya mara kwa mara?*

wanashambuliwa na magonjwa mara kwa mara?
umewatibu weee! Bila mafanikio yoyote zaidi tu ya kutapa hasara na mpaka sasa umechoka na hutamani tena kuendelea kufuga nguruwe .

Pole sana na karibu Mfugo plus group ujipatie max pig super meat.[Huu ni ukombozi]
Max pig ni virutubisho asilia visivyokuwa na kemikali vilivyo andaliwa kisayansi ikiwa lengo kuu kuweza kusaidia nguruwe wako kuweza kupata uzito mkubwa na kunenepa kwa haraka.

Virutubisho hivi vinamchanganyiko wa kutosha k**a madini, Vitamin, pamoja na probiotics.

■ Faida ya kutumia Max pig super meat.

-Nguruwe hukuwa haraka pasipo kudumaa na kuongeza uzalishaji wa nyamaa Tamu isiyo na mafuta mengi yenye hadhi ya kimataifa.

-Nguruwe kuingia joto kwa wakati na kupelekeea kuzaa watoto wengi wenye afya njema.

-Huboresha kinga ya mwili hivyo nguruwe hustaimili magonjwa (Sahau kutibu).

-Hupunguza gharama ya ulishaji kwani 1Kg ya max pig inaweza kuchanganya kwenye nusu tani ya chakula chako na nguruwe wako na akapata lishe yote (Mlo kamili).

-Huondoa harufu mbaya bandani (Hutopata kero za mairani).

-Huongeza hamu ya kula kutokana na utamu usio wa kawaida wa max pig pamoja na harufu nzuri.

■ Jinsi ya kuanza kuitumia max pig punde tu baada ya kuipata kutoka Mifugo plus.
-Chukuwa 1Kg ya max pig kisha changanya kwenye chakula chako chenye Kg500/ nusu tani ulichokwisha andaaa tayari.

■Pia unaweza tumia max pig kwenye maji.
-Chukuwa 1Kg ya max pig kisha changanya kwenye maji Lita 1000.

Wafugaji wote wa nguruwe walio wahi tumia max pig wamepata matokeo na wanazidi kufurahia ufugaji huu adhimu.

■Karibu TANZA FARM ujipatie KG1 ya max pig kwa bei ya 30,000/=Tsh tu.

NB:- USIPO PATA MATOKE NDANI YA SIKU 14 NJOO UCHUKUWE HELA YAKO

Wasiliana nasi kwa simu namba.
0777 270227
0650 930227

0785 670 227
0762 212 623

Tunafanya Delivery mikoani

Address

DAR ES SALAAM
Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when TANZA FARM posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Category