17/05/2026
Chama amekuwa na wakati mzuli sana ndani Simba SC Tanzania ambapo kwenye kila mechi aliyocheza amekuwa hatari sana akifunga na kutoa assist za mabao.
πKwenye mchezo wa leo aliwatanguliza simba dakika ya 06' tu ya michezo ukiwa ni mwendelezo alionao mechi 5 zilizopita.
Hvo kumuita Chama bila A.K.A ya kumfaa haitoshi.
Je? Ww unaona ni a.k.a gani inamfaa?