01/01/2024
MASSAGE ROOM.........🔞🔞🔞
EP....1.…....🔥🔥🔥
MTUNZI & MUANDISHI....,......BADRU VAN SINGH 11 TZ
WHATSAPP......0689-006243
FULL....1000
ANZA NAYO.
Baada Ya Kumaliza Masomo Yake Ya For Four Kijana Khafidhi Aliamua Kutoka Zanzibar Ambapo Alikuwa Akiishi Na Mama Yake Mzazi.
Na Kuamua Kwenda Dar Kwa Mama Yake Mdogo Ili Angalau Akatafute Kazi Ya Kujikimu Kimaisha.
Kijana Huyo Alikuwa Ni Mwenye Vipaji Vingi Sana Kutokana Na Kuwa Mwepesi Wa Kukariri Na Kuga Dani Za Watu.
Ukiachana Na Yote Hayo Khafidhi Alikuwa Ni Mwembamba Kiasi Na Mwenye Rangi Nyeupe Huku Akiwa Na Macho Ya Duara.
Kiufupi Alikuwa Ni Kijana Handsome Kweli Kweli.
Basi Siku Hiyo Alichukuwa Boti Kutoka Zanzibar Mpaka Dar Kwa Mama Yake Mdogo Ambae Yeye Alishazoea Kumuitaga Odo.
""Karibu Mwanangu ""
Odo Mtu Alimkaribisha Khafidhi Baada Ya Kufika.
""Asante Shikamoo Odo""
""Marahaba Za Huko?""
""Huko Safi Tu """
""Dada Hajambo?""
""Hajambo Anakusalimia Tu""
Basi Baada Ya Maongezi Hayo Hafidhi Aliondoka Pale Alipokuwa Amemkuta Odo Yake.
Na Kwakuwa Hakuwa Mgeni Katika Nyumba Hiyo Wala Hakupata Tabu Sana.
Alikuwa Anajua Mpaka Chumba Anacholala.
Mana Ilikuwa Ni Kawaida Yake Kila Alipokuwa Akipata Likizo Ya Kimasomo Ilikuwa Lazima Aje Hapo.
Hivyo Alikuwa Amepazoea Sana.
Japo Na Yote Hayo Kuna Kitu Kilikuwa Kikimuumiza Kichwa Sana Kijana Huyo.
Na Kitu Chenyewe Ni Kuwa Na Sehemu Za Siri Zilizokuwa Kubwa Kupita Kiasi.
Kitu Hicho Kilikuwa Kikimkosesha Raha Mpaka Yeye Mwenyewe Kutokana Na Kuona Kinamkosesha Mademu Wa Rika Lake.
Kitu Hicho Kulikuwa Kikimnyima Raha Sana Khafidhi Na Alipanga Kuja Kumueleza Baba Yake Mdogo Ambae Alikuwa Ni Bwana Afya .
Akijua Rabda Anaweza Akamsaidia Mana Akilini Mwake Alijua Kwamba Huo Ni Ugonjwa.
Basi Siku Hiyo Kwake Ilikuwa Ni K**a Amefika Hapo Zaidi Ya Wiki Kwa Jinsi Alivyokuwa Akifanya Kazi Za Kumsaidia Mama Yake Mdogo.
Na Ukizingatia Mama Yake Mdogo Hakubarikiwa Bado Kupata Mtoto Hivyo Alikuwa Yupo Peke Yake .
Kwaiyo Huwaga Yeye Akifika Hapo Ndio Anamsaidia Kazi Nyengine.
Basi Muda Ulisogea Mpaka Majira Ya Jioni .
Baba Yake Mdogo Ndipo Aliporudi.
""Shikamoo Baba""
""Ohooo...!! Marahaba Khafidhi Vipi Baba?""
""Safi Tu Pole Na Kazi Baba""
""Asante Nishapoa Ehee..Vipi Huko Kwema?""
""Huko Kwema Tu Baba""
""Sawa Vipi Mama Yako Yuko Wapi?""
""Odo Atakuwa Yupo Jikoni""
""Haya Ngoja Nimuone""
Basi Mzee Aliinuka Maana Alikuwa Ameishia Sebuleni Alipomkuta Khafidhi Akicheki Move Kwenye Tv.
Alikwenda Mpaka Jikoni Na Kweli Alimkuta Mke Wake Akimalizia Kupika.
""Karibu Mume Wangu ""
""Asante Nishakaribishwa Na Khafidhi ""
Mzee Huyo Alikuwa Akimpenda Sana Kijana Khafidhi Kutokana Na Yeye Kutobahatika Kupata Mtoto.
Alimfanya K**a Mwanawe Wa Kumzaa Pindi Khafidhi Anapokuwa Nyumbani Hapo.
""Ahaa..Sawa Halafu Mwanao Aliniulizia Kuhusu Wewe Akidai Kuna Mazungumzo Anataka Aongee Na Wewe.""
""Ahaa Sawa Ngoja Basi Nikaoge Kwanza""
Basi Mzee Baada Ya Kusalimiana Na Mkewe Alitoka Pale Na Kwenda Chumbani Kwakwe Kwa Ajili Ya Kuoga.
Alipomaliza Alikwenda Mpaka Sebuleni Alipokuwa Kijana Khafidhi.
""Haya Nambie Baba Mana Mama Yako Kanipa Habari Kwamba Una Mazungumzo Na Mimi""
Mzee Baada Ya Kukaa Alimuuliza Khafidhi Hivyo.
""Ndio Baba Ni Kweli Kuna Jambo Nataka Nikwambie Mana Mi Najihisi Nina Matatizo Katika Mwili Wangu Na Sijawahi Mwambia Mtu Yeyote Yule ""
""Ahaa Sawa Ni Matatizo Gani Hayo?""
""Kiukweli Mi Sijui Baba Rabda Wewe Ukiayaona Unaweza Ukayatambua""
""Haya Hebu Nionyeshe Nione ""
""Hapana Baba Hapa Itakuwa Ni Ngumu Mana Odo Anaweza Akaja Rabda Twende Ndani ""
Basi Mzee Hakuwa Na Hiyana Alimsikiliza Na Kuinuka Wote .
Walielekea Mpaka Kwenye Chumba Cha Khafidhi .
Baada Ya Kufika Chumbani Khafidhi Alishusha Suruali Yake Na Kulitoa Dudu Lake Kubwa Kweli Kweli Na Lililojaa Mishipa .
""Tatizo Lenyewe Ni Hili Baba""
Mzee Wa Watu Alibaki Akiwa Amelikodolea Macho Dudu Hilo Asiamini Anachokiona.
""We Mtoto Mbona Una Hatari Na Hapo Halijasimama Hapo Hivi Linasimama Kweli?""
""Ndio Baba Na Ndiomana Sivaagi Nguo Nyepesi Mana Linaposimama Linakuwa Halina Siri ""
""Mmmh..Hii Hatari Ok Kesho Tutajaribu Kwenda Wote Kazini Kuna Mwanamama Ni Bingwa Wa Maswala Ya Uzazi Rabda Yeye Anaweza Kutusaidia""
""Sawa Baba Nitashukuru Sana K**a Nitasaidika Mana Si Dhani K**a Jitakuja Kuoa K**a Nikibaki Hivi""
""Kwanini?""
""Maana Kila Binti Ntakaekuwa Nae Wananikimbia Kisa Hili Tatizo""
""Aaaah .. Usijali Ngoja Tuone """.......... ITAENDELEA
TAFADHALI K**A WEWE SIO MPENZI WA MAMBO YA NDANI USISOME HII SIMULIZI
LIKE PAGE YETU
SHARE
COMMENT