01/12/2024
๐ญ๐ญHakuna watu roho mbaya k**a relatives wako๐๐. Hao ndio watu mnacheka nao, mnakula nao unadani wanakupenda kumbe ndani yao imejaa chuki๐hata kulike post yako hawaezi๐. Hawataki kukuona hata siku moja ukiomoka๐๐. Ukiwa kwa shida watakucheka, hawatakusaidia hata siku moja๐๐. Unaita harambee wanakuja wanakuchangia hamsini hamsini baadae wanakusengenya ety wee ni ombaomba๐๐. Hawa ni watu hata wakiona umekuwa na success kwa maisha yako wanaenda kwa waganga ndio maisha yako iharibike๐๐. Wanaenda kwa wachawi wakuroge juu ya chuki๐๐. Baadae unaanza kufura miguu๐ญ๐ญ, mara kufura tumbo๐ญ๐ญ, mara kuumwa na kichwa๐ญ๐ญ, mara kuumwa na mgongo๐ญ๐ญ. Unaanza kushangaa kwani shida imetoka wapi. Kumbe ni huyo relative wako ndio anataka kuharibu maisha yako aone umeteseka kwa maisha๐๐. Amini Mungu na wazazi wako pekee๐ฅฐ๐ฅฐ. Hata heri rafiki wa nje atakusaidia sana๐ฅฐ๐ฅฐ. Ni hayo tu kwa sasa acha niende Kwa office narudi๐๐